Walawi 23:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa muda wa siku hizo zote saba mtanitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka za kuteketezwa kwa moto. Katika siku ya saba mtafanya mkutano mtakatifu. Msifanye kazi.”

Walawi 23

Walawi 23:1-18