Walawi 22:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani asile nyama yoyote ya mnyama aliyekufa peke yake au kuuawa na mnyama wa porini, asije akajitia unajisi. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Walawi 22

Walawi 22:1-12