Walawi 22:27 Biblia Habari Njema (BHN)

“Fahali, kondoo dume au beberu akizaliwa atabaki na mama yake kwa siku saba. Lakini tangu siku ya nane anaweza kutolewa kwa Mwenyezi-Mungu kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto.

Walawi 22

Walawi 22:24-28