Walawi 21:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa kuwa amewekwa wakfu kwa kupakwa mafuta ya Mungu wake kichwani, basi asiondoke mahali patakatifu wala asipatie unajisi. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Walawi 21

Walawi 21:7-15