Walawi 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, “Waambie makuhani, wana wa Aroni, kwamba pasiwe na mtu yeyote miongoni mwao atakayejitia najisi kwa kugusa maiti ya watu wa jamaa yake,

Walawi 21

Walawi 21:1-10