Walawi 20:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mwanamume yeyote akilala na mwanamume mwenzake kana kwamba ni mwanamke, basi, wote wawili ni lazima wauawe kwani wamefanya jambo lililo chukizo; watawajibika kwa umwagaji wa damu yao wenyewe.

Walawi 20

Walawi 20:8-22