Walawi 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

naye atakayekula nyama hiyo ni lazima awajibike kwa uovu wake kwa sababu amekitia unajisi kitu kitakatifu cha Mwenyezi-Mungu. Mtu huyo atatengwa na watu wake.

Walawi 19

Walawi 19:7-11