Walawi 18:24 Biblia Habari Njema (BHN)

“Msijitie najisi kwa kufanya mambo hayo kwani kwa sababu ya mambo hayo nayafukuza mataifa yaliyo mbele yenu kwa vile wao hufanya hayo na kujitia najisi.

Walawi 18

Walawi 18:22-29