Walawi 18:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kamwe usimtoe mtoto wako yeyote kuwa sadaka kwa mungu Moleki maana kufanya hivyo utalikufuru jina langu mimi Mungu wako. Mimi ndimi Mwenyezi-Mungu.

Walawi 18

Walawi 18:16-27