Walawi 17:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo Waisraeli watakoma kabisa kutambikia yale majini, jambo ambalo limewafanya wakose uaminifu kwangu. Sharti hili ni la kudumu milele katika vizazi vyao vyote.

Walawi 17

Walawi 17:2-12