Walawi 17:13 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mtu yeyote miongoni mwa Waisraeli au mgeni anayekaa miongoni mwao akienda kuwinda mnyama au ndege, ni lazima aimwage damu chini na kuifunika kwa udongo.

Walawi 17

Walawi 17:8-16