Walawi 16:6 Biblia Habari Njema (BHN)

“Aroni atamtoa huyo fahali sadaka ya kuondoa dhambi kwa ajili yake mwenyewe, na kufanya ibada ya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na jamaa yake.

Walawi 16

Walawi 16:1-12