Walawi 16:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtafanya hivyo kwa sababu siku hiyo ndiyo siku ambayo mtafanyiwa ibada ya upatanisho, msafishwe dhambi zenu, nanyi mtakuwa safi mbele ya Mwenyezi-Mungu.

Walawi 16

Walawi 16:24-34