Walawi 16:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Atachukua kiasi cha damu ya yule fahali na kunyunyiza kwa kidole chake upande wa mashariki juu ya kiti cha rehema kisha atainyunyizia mbele ya sanduku la agano mara saba kwa kidole chake.

Walawi 16

Walawi 16:11-20