Walawi 15:31 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ndivyo mtakavyowatahadharisha Waisraeli na unajisi wao, wasije wakaikufuru maskani yangu takatifu iliyo miongoni mwao wakiingia humo na unajisi wao; wakifanya hivyo watauawa.”

Walawi 15

Walawi 15:21-33