Walawi 15:19 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mwanamke yeyote anapokuwa mwezini, atakuwa najisi kwa muda wa siku saba. Mtu yeyote atakayemgusa mwanamke huyo atakuwa najisi mpaka jioni.

Walawi 15

Walawi 15:17-25