Walawi 14:34 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani ambayo ninawapa kuwa milki yenu, nami nikafanya namna ya upele wa ukoma uote katika ukuta wa nyumba fulani katika nchi mtakayoimiliki,

Walawi 14

Walawi 14:30-37