Walawi 13:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini upele huo ukiwa umeenea kwenye ngozi, baada ya mtu huyo kujionesha kwa kuhani kwa ajili ya kutakaswa kwake, basi, atakuja tena kwa kuhani.

Walawi 13

Walawi 13:1-15