Walawi 13:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama kuhani atamwangalia huyo mtu na kuona kuwa nywele za mahali hapo si nyeupe na wala hakuna shimo, ila pamefifia, basi, atamtenga huyo mtu kwa muda wa siku saba.

Walawi 13

Walawi 13:18-27