Walawi 13:2 Biblia Habari Njema (BHN)

“Iwapo mtu yeyote atakuwa na uvimbe au upele au kipaku mwilini mwake, ikadhihirika kwamba ni ukoma, basi, ataletwa kwa kuhani Aroni au mmoja wa wanawe aliye kuhani.

Walawi 13

Walawi 13:1-10