Walawi 12:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, kama amejifungua mtoto wa kike, basi, atakuwa najisi kwa muda wa majuma mawili kama ilivyo anapokuwa katika siku zake. Ataendelea katika kutakasika kwake kwa muda wa siku sitini na sita.

Walawi 12

Walawi 12:2-8