Walawi 11:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila kitu ambacho sehemu ya mzoga imekiangukia, kitakuwa najisi. Ikiwa ni tanuri au jiko, ni lazima kivunjwe. Vitakuwa najisi navyo ni najisi kwenu.

Walawi 11

Walawi 11:28-44