Walawi 11:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini chochote kinachoishi baharini au mitoni, ambacho hakina mapezi wala magamba, yaani viumbe vyote viendavyo majini na viumbe vingine vyote viishivyo majini ni najisi kwenu.

Walawi 11

Walawi 11:5-14