Walawi 10:9 Biblia Habari Njema (BHN)

“Mnapoingia ndani ya hema la mkutano, wewe na wanao msinywe divai wala kileo chochote, la sivyo mtakufa. Hii itakuwa sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.

Walawi 10

Walawi 10:8-12