Walawi 10:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose akawaita Mishaeli na Elsafani, wanawe Uzieli, baba mdogo wa Aroni, akawaambia waje kuondoa maiti za ndugu zao maskani na kuzipeleka nje ya kambi.

Walawi 10

Walawi 10:1-10