Wakolosai 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko Kristo aliwapokonya nguvu zao hao pepo watawala na wakuu; aliwafanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuwaburuta kama mateka katika msafara wa ushindi wake.

Wakolosai 2

Wakolosai 2:7-21