Waebrania 9:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeye aliingia Mahali Patakatifu mara moja tu, akiwa amechukua, sio damu ya mbuzi na ng'ombe, bali amechukua damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele.

Waebrania 9

Waebrania 9:11-22