Waebrania 7:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini huyo Melkisedeki hakuwa wa ukoo wa Lawi, hata hivyo alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu; tena akambariki yeye ambaye alikuwa amepewa ahadi ya Mungu.

Waebrania 7

Waebrania 7:1-14