Waebrania 7:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Baba yake na mama yake hawatajwi, wala ukoo wake hautajwi; haisemwi alizaliwa lini au alikufa lini. Anafanana na Mwana wa Mungu, na anaendelea kuwa kuhani daima.

Waebrania 7

Waebrania 7:1-5