Waebrania 7:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Sheria huwateua watu walio dhaifu kuwa makuhani wakuu; lakini ahadi ya Mungu aliyoifanya kwa kiapo na ambayo imefika baada ya sheria imemteua Mwana ambaye amefanywa mkamilifu milele.

Waebrania 7

Waebrania 7:25-28