Waebrania 7:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, ilikuwa jambo la kufaa sana kwetu kuwa na kuhani kama huyo, mtakatifu, asiye na hatia wala dhambi ndani yake; ametenganishwa mbali na wenye dhambi, na ameinuliwa juu ya mbingu.

Waebrania 7

Waebrania 7:18-28