Waebrania 7:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana sheria ya Mose haikuweza kukamilisha jambo lolote. Lakini sasa, mahali pake pamewekwa tumaini lililo bora zaidi ambalo kwalo tunaweza kumkaribia Mungu.

Waebrania 7

Waebrania 7:14-23