Waebrania 7:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Naye Bwana wetu ambaye mambo hayo yote yanasemwa juu yake, alikuwa wa kabila lingine, na wala hakuna hata mmoja wa kabila lake aliyepata kutumikia madhabahuni akiwa kuhani.

Waebrania 7

Waebrania 7:8-16