Waebrania 5:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipokuwa anaishi hapa duniani, kwa kilio kikuu na machozi, alisali na kumwomba Mungu ambaye alikuwa na uwezo wa kumwokoa kifoni; naye alisikilizwa kwa sababu ya kumcha Mungu.

Waebrania 5

Waebrania 5:1-10