Waebrania 5:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna mtu awezaye kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Kila mmoja huteuliwa na Mungu kuwa kuhani mkuu kama alivyokuwa Aroni.

Waebrania 5

Waebrania 5:2-11