Waebrania 2:16-18 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko: “Anawasaidia wazawa wa Abrahamu.”

17. Ndiyo maana ilimbidi awe kama ndugu zake kwa kila namna, ili awe Kuhani Mkuu wao aliye mwaminifu na mwenye huruma katika kumtumikia Mungu, ili dhambi za watu ziondolewe.

18. Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa.

Waebrania 2