Waebrania 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeye anawatakasa watu dhambi zao, naye pamoja na wale waliotakaswa, wote wanaye Baba mmoja. Ndiyo maana Yesu haoni aibu kuwaita hao, ndugu zake;

Waebrania 2

Waebrania 2:4-18