Waebrania 13:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kuhani mkuu wa Kiyahudi huleta damu ya wanyama katika Mahali Patakatifu na kuitoa tambiko kwa ajili ya dhambi; lakini nyama za hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.

Waebrania 13

Waebrania 13:9-15