Waebrania 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Vumilieni adhabu kwani ni mafundisho; Mungu huwatendea nyinyi kama wanawe. Maana ni mwana gani asiyeadhibiwa na baba yake?

Waebrania 12

Waebrania 12:1-12