Waebrania 12:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi basi, na tushukuru, kwani tunapokea ufalme usiotikisika. Tuwe na shukrani na kumwabudu Mungu kwa namna itakayompendeza, kwa ibada na hofu;

Waebrania 12

Waebrania 12:22-29