Waebrania 11:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu. Kwa maana kila mtu anayemwendea Mungu ni lazima aamini kwamba Mungu yuko, na kwamba huwatuza wale wanaomtafuta.

Waebrania 11

Waebrania 11:1-11