Waebrania 11:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipigwa mawe, walipasuliwa vipandevipande, waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi; walikuwa watu maskini, walioteswa na kudhulumiwa.

Waebrania 11

Waebrania 11:33-40