Waebrania 11:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa imani Yakobo alipokuwa karibu kufa, aliwabariki kila mmoja wa wana wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiegemea kichwa cha ile fimbo yake.

Waebrania 11

Waebrania 11:11-25