Waebrania 11:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, kutoka katika mtu huyo mmoja, Abrahamu, ambaye alikuwa kama amekufa, walitokea watu wengi wasiohesabika kama vile nyota za mbinguni na mchanga wa pwani.

Waebrania 11

Waebrania 11:4-14