Waebrania 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwanza alisema: “Hutaki wala hupendezwi na tambiko, sadaka za kuteketezwa na za kuondoa dhambi.” Alisema hivyo ingawa sadaka hizi zote hutolewa kufuatana na sheria.

Waebrania 10

Waebrania 10:1-18