Waebrania 10:35-37 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Basi, msipoteze uhodari wenu, maana utawapatia tuzo kubwa.

36. Mnahitaji kuwa na uvumilivu ili muweze kutimiza matakwa ya Mungu na kupokea kile alichoahidi.

37. Maana kama yasemavyo Maandiko:“Bado kidogo tu,na yule anayekuja, atakuja,wala hatakawia.

Waebrania 10