Waebrania 10:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama hao watu wanaomwabudu Mungu wangekuwa wametakaswa dhambi zao kweli, hawangejisikia tena kuwa na dhambi, na tambiko hizo zote zingekoma.

Waebrania 10

Waebrania 10:1-7