12. Utazikunjakunja kama koti,nazo zitabadilishwa kama vazi.Lakini wewe ni yuleyule daima,na maisha yako hayatakoma.”
13. Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake:“Keti upande wangu wa kulia,mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako.”
14. Malaika ni nini ila roho wanaomtumikia Mungu na ambao hutumwa kuwasaidia wale watakaopokea wokovu?