Waamuzi 8:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Gideoni akawaambia, “Sawa, lakini Mwenyezi-Mungu atakapowatia Zeba na Salmuna mikononi mwangu, nitaichanachana miili yenu kwa miiba na mbigili za jangwani.”

Waamuzi 8

Waamuzi 8:3-16