Waamuzi 8:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo Zeba na Salmuna wakasema, “Tuue wewe mwenyewe, maana hii ni kazi ya mtu mzima.” Gideoni akawaua yeye mwenyewe na kuchukua mapambo yao yaliyokuwa shingoni mwa ngamia wao.

Waamuzi 8

Waamuzi 8:18-24